Huduma zetu
- Tunauza viwanja vilivyopimwa
- Tunafatilia hati kwa uharaka
- Tunafanya Upimaji wa ardhi
- Tunafatilia vibali vya ujenzi
- Tunatoa Ushauri kuhusu ardhi
+255 653 718 937
Champion Real Estate Limited ni kampuni inayoongoza katika huduma za ardhi na mali isiyohamishika nchini Tanzania. Tunakupa huduma za kitaalamu, ushauri na urahisi katika kupata kiwanja chako kwa gharama nafuu na kwa uaminifu wa hali ya juu
Champion Real Estate Limited ina miradi mbalimbali katika maeneo yanayokua kwa kasi:
📍 Km 2 kutoka Pingo Center (barabara kuu ya Morogoro)
📍 Pembeni ya barabara ya kutoka Bagamoyo
💰 Bei:
📍 Km 1 kutoka kituo cha “Kwa Bibi”
💰 Sqm moja: 170,000 TSh
Malipo miezi 3
Kianzio 50%
📍 Km 1.8 kutoka Bunju A Center
💰 Sqm moja: 55,000 TSh
Malipo miezi 6
Kianzio 40%